Jumanne, 26 Juni 2018

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA UGENI KUTOKA LIWALE MKOANI LINDI

Posted by Esta Malibiche on JUNE 26,2018 IN NEWS

V25A2171
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akisalimiana na Mbunge wa Liwale Mhe. Zuberi kuchauka (kulia) na Ndg. Jivunie Mbunda (aliebebwa) ambae ni mlemavu wa kimo kutoka Liwale Mkoani Lindi walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
V25A2200V25A2186V25A2184
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akizungumza na Mbunge wa Liwale Mhe. Zuberi kuchauka (kulia) pamoja na wanandoa Ndg. Jivunie Mbunda ambae ni mlemavu wa kimo (kushoto) na Mkewe Ndg. Amina Mbunda wote kutoka Liwale Mkoani Lindi (wa pili kushoto) walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
V25A2178
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Mbunge wa Liwale Mhe. Zuberi kuchauka (kulia) na Wana ndoa Ndg. Amina Mbunda (kushoto) na Mumewe Ndg. Amina Mbunda (aliebebwa) ambae ni mlemavu wa kimo kutoka liwale Mkoani Lindi walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 (PICHA NA OFISI YA BUNGE

0 maoni:

Chapisha Maoni