Jumamosi, 23 Juni 2018

NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA RODRICK MPOGOLO AIKABIDHI MIFUKO 100 YA SARUJI SHULE YA SEKONDARI MWEMBETOGWA IRINGA

Posted by Esta Malibiche on JUNE 23,2018 IN SIASA

Naibu katibu mkuu ccm bara Rodrick Mpoholo akikabidhi mifuko ya  saruji kwa uongozi wa shule ya sekondari Mwembetogwa inayomilikiwa na jumuiya ya wazazi ccm,iliyopo Manispaa ya  Iringa,ambapo jumla ya mifuko 100 imekabidhiwa shuleni hapo kwa ajili ya  ujenzi wa nyumba ya mlezi wa wanafunzi wa kike[Matron]

Mifuko ya saruji iliyokabidhiwa na Naibu katribu Mkuu .



 Naibu katibu mkuu ccm bara Rodrick Mpogolo akimkabidhi mpira kiongozi wa  michezo katika shule ya Sekondari Mwembetogwa .

Naibu katibu mkuu ccm bara Rodrick Mpogolo akisalimiana na walimu wa shule ya sekondari Mwembetogwa mara baada ya kuwasili shuleni hapo.
 Naibu katibu mkuu ccm bara Rodrick Mpogolo akisalimiana na wanafunzi.


Naibu katibu mkuu ccm bara Rodrick Mpogolo akiendelea kusalimiana na wanafunzi
Naibu katibu mkuu ccm bara Rodrick Mpoholo akizungumza mara baada ya kukabidhi vifaa hivyo ambapo aliwataka wanafunzi hao kusoma kwa bidii ili waweze kufikia malengo yao.






Walimu na Wanafunzi wa shule ya Sekondari Mwembetogwa wakiwa katika picha ya pamoja na Naibu katibu mkuu pamoja na viongozi wa ccm Mkoa wa Iringa.













0 maoni:

Chapisha Maoni