Alhamisi, 14 Juni 2018

URUSI YAANZA VIZURI KOMBE LA DUNIA,YAICHAKAZA SAUDI ARABIA 5-0

Posted by Esta Malibiche on JUNE 15,2018 IN MICHEZO

 4D3BF5C300000578-0-image-a-5_1528991066463-950x634
Dakika 90 zimemalizika katika Uwanja wa Luzhniki kwa wenyeji Urusi kuibuka na ushindi wa kishindo wa mabao 5-0 dhidi ya Saudi Arabia katika mechi ya ufunguzi wa michuano ya Kombe la Dunia.
4D3C2F4700000578-5844851-image-a-18_1528993702196-660x400
Mechi hiyo ya aina yake imeshuhudiwa bao la kwanza likiwekwa kimiani mnamo dakika ya 12 na Ganzizky ambalo limeandika rekodi ya kuwa bao la kwanza katika mashindano ya Kombe la Dunia kwa mwaka huu.
4D3BD0C500000578-0-image-a-1_1528990850078-950x614
4D3BE6B000000578-5844851-image-a-2_1528992378569-950x654
Mabao mengine yametiwa kimiani na Cheryshev (43′ minutes, 90’+1), Dzyuba (71′ ) na Golovin (90’+4).
4D3BDDF400000578-5844851-image-a-10_1528991182676-950x608
4D3C506E00000578-5844851-image-m-28_1528993857900-950x624
Baada ya wenyeji kuanza vizuri, mechi zingine za kesho zitakuwa ni Iran itakayowakaribisha Morocco na vilevile Ureno itakuwa inacheza dhidi ya Spain

0 maoni:

Chapisha Maoni