Ijumaa, 22 Juni 2018

NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA RODRICK MPOGOLO AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA CCM MKOA WA IRINGA LEO HII

Posted by Esta Malibiche on JUNE 22,2018 IN SIASA

 Naibu katibu mkuu ccm bara Rodrick Mpogolo akizunguymza leo hii na wajumbe wa Halmashauri kuu ccm Mkoa wa Iringa,Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa ccm Mkoa wa Iringa Albert Chalamila akifuatiwa na Katibu wa ccm Mkoa wa Iringa Christopher Magala ,kulia kwa Naibu katibu mkuu ni Mjumbe wa Halmashauri kuu ccm Taifa viti 15 tanzania bara Teresia Mtewele pamoja na Mnec wa Mkoa wa Iringa ambae pia ni mjumbe wa Halmshauri kuu ccm Taifa Salim Asas.

 Naibu katibu mkuu ccm bara Rodrick Mpogolo akisalimiana na katibu wa uvccm Wilaya ya Iringa  vijijini,Mkala Mapesa mara baada ya kuwasili katika ofisi za ccm Mkoa wa Iringa.
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara,Rodrick Mpogolo  akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili katika Ofisi ya CCM mkoa wa  leo. 
 Naibu katibu mkuu ccm bara Rodrick Mpogolo akizunguymza na wajumbe wa Halmashauri kuu ccm Mkoa wa Iringa,katika kikao kilichofanyika leo hii ofisi za ccm Iringa Mjini.Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa ccm Mkoa wa Iringa Albert Chalamila akifuatiwa na Katibu wa ccm Mkoa wa Iringa Christopher Magala ,kulia kwa Naibu katibu mkuu ni Mjumbe wa Halmashauri kuu ccm Taifa viti 15 tanzania bara Teresia Mtewele.


 Mbunge wa jimbo la Isimani kupitia chama cha Mapinduzi ccm,ambae pia ni waziri wa Ardhi.Nyumba na makazi Willium Likuvi akizungumza.

 Katibu wa CCM mkoa wa Iringa Christopher Magala akizungumza.


Mjumbe wa Halmashauri kuu ccm Taifa viti 15 Tanzania bara Teresia Mtewele akizungumza
 Mnec wa Mkoa wa Iringa ambae pia ni mjumbe wa Halamshauri kuu ccm Taifa Salim Asas akizungumza.





  Mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza akizunmgumza.


Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela akizungumza.


























0 maoni:

Chapisha Maoni