Alhamisi, 29 Machi 2018

RAIS WA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA AWATAKA WAAMINI KUUISHI UKRISTO WAO KWA KUTENDA MATENDO MEMA.

Posted by EstaMalibiche on March 29,2018 IN NEWS

 Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania na Askofu wa Jimbo la Iringa Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa akiadhimisha Sadaka ya Misa takatifu ya Alhamis Kuu katika Parokia ya Mkwawa Jimboni Iringa.
Katika Homilia yake amewataka waamini kuwa wanyenyekevu kama Yesu Kristo alivyokuwa mtii hata akafa msalabani.

Baba Askofu amesema kuwa mama Kanisa anafundisha kwamba, Kristo Yesu aliwapenda watu wake upeo na alipokuwa anakaribia “Saa yake” ili kutoka hapa ulimwenguni na kurudi kwa Baba yake wa mbinguni.

Wapendwa wana familia ya Mungu Siku ile ya Alhamisi kuu, walipokuwa wakila, Yesu aliwaosha mitume wake miguu yao na kuwapatia Amri ya upendo inayomwilishwa katika huduma ya upendo, hasa kwa maskini na wale wote wanaosukumizwa pembezoni mwa jamii.Akataka pia kuwapatia amana ya upendo huu na kuendelea kubaki kati yao na kuendelea kuwashirikisha Fumbo la Pasaka, aliweka Sakramenti ya Ekarissti Takatifu, kielelezo cha sadaka, shukrani, kumbu kumbu endelevu na uwepo wake kati yao katika alama ya Mkate na Divai.PICHA NA ESTA MALIBICHE

Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania na Askofu wa Jimbo la Iringa Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa akiadhimisha Sadaka ya Misa takatifu ya Alhamis Kuu katika Parokia ya Mkwawa Jimboni Iringa.

Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania na Askofu wa Jimbo la Iringa Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa akiadhimisha Sadaka ya Misa takatifu ya Alhamis Kuu katika Parokia ya Mkwawa Jimboni Iringa.
Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania na Askofu wa Jimbo la Iringa Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa akiwaosha miguu waamini.


Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania na Askofu wa Jimbo la Iringa Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa akiwaosha miguu waamini.
Waamini wa parokia ya Mkwawa jimbo katoliki la Iringa wakiwa katika misa takatifu ya Aalhamis kuu iliyoongizwa na Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania na Askofu wa Jimbo la Iringa Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa.
Waamini wa parokia ya Mkwawa jimbo katoliki la Iringa wakiwa katika misa takatifu ya Aalhamis kuu iliyoongizwa na Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania na Askofu wa Jimbo la Iringa Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa.
Waamini wa parokia ya Mkwawa jimbo katoliki la Iringa wakiwa katika misa takatifu ya Aalhamis kuu iliyoongizwa na Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania na Askofu wa Jimbo la Iringa Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa.
Wanakwaya na wamini wa parokia ya Mkwawa jimbo katoliki la Iringa wakiwa katika misa takatifu ya Aalhamis kuu iliyoongizwa na Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania na Askofu wa Jimbo la Iringa Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa.
Wanakwaya na waamini wa parokia ya Mkwawa jimbo katoliki la Iringa wakiwa katika misa takatifu ya Aalhamis kuu iliyoongizwa na Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania na Askofu wa Jimbo la Iringa Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa.

0 maoni:

Chapisha Maoni