
Posted by EstaMalibiche on March 29,2018 IN NEWS
Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania na Askofu wa Jimbo la Iringa Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa akiadhimisha Sadaka ya Misa takatifu ya Alhamis Kuu katika Parokia ya Mkwawa Jimboni Iringa.
Katika Homilia yake amewataka waamini kuwa wanyenyekevu kama Yesu Kristo alivyokuwa mtii hata akafa msalabani.
Baba Askofu amesema kuwa mama Kanisa anafundisha kwamba, Kristo Yesu...