Kwa Habari za kitaifa na kimataifa

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za michezo na burudani

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za afya

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za Kilimo

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za uchumi na biashara

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za elimu

Tembelea Kali ya habari

Alhamisi, 29 Machi 2018

RAIS WA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA AWATAKA WAAMINI KUUISHI UKRISTO WAO KWA KUTENDA MATENDO MEMA.

Posted by EstaMalibiche on March 29,2018 IN NEWS  Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania na Askofu wa Jimbo la Iringa Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa akiadhimisha Sadaka ya Misa takatifu ya Alhamis Kuu katika Parokia ya Mkwawa Jimboni Iringa. Katika Homilia yake amewataka waamini kuwa wanyenyekevu kama Yesu Kristo alivyokuwa mtii hata akafa msalabani. Baba Askofu amesema kuwa mama Kanisa anafundisha kwamba, Kristo Yesu...

RC MAKONDA ATOA ZAWADI KWA WAJAWAZITO WATAKAOJIFUNGUA PASAKA

Posted by Esta Malibiche on March 29,2018 IN NEWS Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo ametoa zawadi ya vifaa tiba vya Mama mzazi kwaajili ya kujifungulia (Delivery Packs) 200 vyenye thamani ya zaidi ya shilingi million 20 Kama zawadi yake ya sikukuu ya pasaka kwa kinamama watakaojifungua kwenye msimu huu wa pasaka. Gharama ya mfuko mmoja (package) ya Vifaa hivyo vya kisasa ni Shilingi laki Moja ambapo ndani yake kuna...

JOSEPH MWAGALA ATATUA CHANGAMOTO YA UHABA WA VYUMBA VYA MADARASA SHULE YA SEKONDARI REGINA PACIS MUFINDI, AKABIDHI MIFUKO YA SARUJI 100 KWA AJILI YA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA

Posted by Esta Malibiche on March 29,2018 IN NEWS Na Esta Malibiche Mufindi SHULE ya  sekondari ya wasichana ya Regina Pacis inamilikiwa na kanisa katoliki parokia ya Kibaoni jimbo katoliki la Iringa tayari imeanza ujenzi wa vyumba nane vya madarasa ambapo mdau wa maendeleo mkoani Iringa,Josepht Mwagala amekabidhi mifuko 100 ya saruji  yenye thamani ya zaidi ya shilingi millioni 1.3 kwa ajili ya kukamilisha  ujenzi wa vyumba...

Jumatano, 28 Machi 2018

MAGAZETI YA LEO TZ NA NJE MACHI 29,2018

Posted by Esta Malibiche on March 29,2018 IN KITAIFA ...

MKUU WA MKOA WA IRINGA AMINA MASENZA AWAPONGEZA RDO KWA KUTATUA CHANGAMOTO YA MAJI MUFINDI NA KILOLO

Posted by Esta Malibiche on March 28,2018 IN NEWS  Mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Nandala alipokuwa ameenda kuzindua mradi wa maji ambao utasaidia kupunguza changamoto ya maji na kuchochea maendeleo kwa wananchi ambao watakuwa wananufaika na mradi huo ulifadhiliwa na shirika lisilo la kiserikali la Rural Development Organization (RDO) Tanzania ambao makao makuu yao yapo Mdabulo Mufindi.   Mkuu...

Jumapili, 25 Machi 2018

PITIA VICHWA VYA HABARI MAGAZETI YA LEO MARCH 26,2018

Posted by Esta  Malibiche on March 26,2018 IN KITAIFA ...