Alhamisi, 24 Agosti 2017

BASI LILILOBEBA WANAFUNZI LAGONGANA NA TRENI MKOANI MOROGORO

Posted by Esta Malibiche on August 24,2017

Watu kadhaa wamejeruhiwa katika ajali iliyotekea Asubuhi hii mkoani Morogoro iliyosababishwa na basi dogo lililokuwa limebeba wanafunzi kugongana na treni.






0 maoni:

Chapisha Maoni