Kwa Habari za kitaifa na kimataifa

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za michezo na burudani

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za afya

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za Kilimo

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za uchumi na biashara

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za elimu

Tembelea Kali ya habari

Jumatatu, 31 Julai 2017

MAJALIWA ZUNGUMZA NA WATUMISHI WA MANISPAA YA MBEYA

Posted by Esta Malibiche on JULY 31,2017 IN NEWS Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na watumishi wa Umma, Viongozi wa Dini na Viongozi wa Taasisi Binafisi wa Manispaa ya Mbeya kwenye ukumbi wa Benjamin Mkapa jijini Mbeya Julai 31, 2017.  Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makalla na Kulia ni Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson Baadhi ya Watumishi wa Umma, Viongozi wa Dini na Viongozi wa Taasisi Binafsi wakimsikiliza...

Waziri Mkuu Aagiza kukamatwa kwa viongozi 12 wa Jiji la Mbeya kwa kusabaisha hasara ya Bilioni 63

Posted by Esta MALIBICHE ON july 31,2017 IN NEWS    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) iwakamate watendaji 12 wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya wakiwamo aliyekuwa mstahiki meya Athanas Kapuga. Amesema pia wakamatwe, wakurugenzi watatu, kaimu mkurugenzi, wahasibu wawili na wajumbe wa bodi wanne kwa kuisababishia hasara jiji hilo kiasi cha Sh63 bilioni katika ujenzi...

UZINDUZI WA BARAZA LA WAZALISHAJI WAFANYIKA ZANZIBAR.

Posted by Esta Malibiche on JULY 31,2017 IN NEWS Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Balozi Amina Salum Ali akiangalia bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na Wafanyabishara wa Zanzibar katika Uzinduzi wa Baraza la Wazalishaji lililofanyika katika Hoteli ya Grand Palace Malindi mjini Unguja. Katibu wa Baraza la Wazalishaji Zanzibar Madam Cheherezade Chukh akitoa hotuba ya makaribisho katika uzinduzi wa Baraza la Wazalishaji lililofanyika...

KATIBU MKUU SIHABA NKINGA AHIMIZA WAKUU WA YUO VYA MAENDELEO YA JAMII KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI NA TARATIBU KATIKA UTENDAJI KAZI.

Posted by Esta Malibiche on JULY 31,2017 IN NEWS  Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Mendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bibi Sihaba Nkinga (katikati) akizungumza na Wakuu wa Vyuo vya Maendeleo ya Jamii wakati wa ufunguzi wa Mafunzo ya Udhibiti wa Viashiria Hatarishi katika Utendaji wa Vyuo hivyo yanayofanyika katika Ukumbi wa Wakala wa Mbegu za miti, mkoani Morogoro leo 31.7.2017.   Mkurugenzi wa Idara...

WANANCHI MONDULI KUNUFAIKA NA MAJI

Posted by Esta Mlibiche on JULY 31,2017 IN NEWS Mkurugenzi wa kampuni ya Smart Vision ya Korea, Seo Young Kim (kushoto) na Andrew Chung ambaye ni mbunifu wa mtambo wa kusafisha maji wakionyesha mtambo huo kwenye uzinduzi wake kwenye kitongoji cha Irmorijo Kijiji cha Emairete Wilayani Monduli Mkoani Arusha  Mkurugenzi wa kampuni ya Smart Vision ya Korea, Seo Young Kim (kushoto) na mchungaji wa kanisa...

BARAZA LA MADIWANI MJI WA KIBAHA LAADHIMIA MKUU WA IDARA YA MAZINGIRA NA MAJI WAWAJIBISHWE

Posted by Esta Mlaibiche on JULY 31,2017 IN NEWS Mbunge wa jimbo la Mji wa Kibaha ,Silvestry Koka akieleza maadhimio ya baraza la mji huo yaliyotolewa kwenye baraza la madiwani Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya Mji wa Kibaha, Lucy Kimoi akizungumza jambo katika baraza la madiwani la Mji huo .(picha na Mwamvua Mwinyi) …………………….. Na Mwamvua Mwinyi,Kibaha BARAZA la madiwani la halmashauri ya Mji wa Kibaha ,Pwani...

UNCDF YAWEZESHA UFUGAJI SAMAKI KIBIASHARA BWAWA LA KALEMAWE

Posted by Esta Malibiche on JULY 31,2017 IN BIASHARA SERIKALI ya Tanzania, imeshukuru Mfuko wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNCDF) kwa kuwezesha watanzania kupambana na umaskini kupitia miradi wanayoidhamini au kuitafutia fedha. Kwa miongo miwili UNCDF imekuwa ikifanya kazi kwa kushirikiana na Serikali ya Tanzania kupitia ofisi ya rais Tawala za Mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI)...