Alhamisi, 27 Aprili 2017

TEHAMA YAHAMASISHA WANAFUNZI WA KIKE KUSOMA MASOMO YA SAYANSI

Posted by Esta Malibiche on APRIL 27,2017 IN NEWS


Maadhmisho ya siku ya wasichana na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano  TEHAMA kimataifa yamefanyika leo,ambapo Nyanda za juu kusini siku hii imeadhimishwa katika shule ya Sekondari ya wasichana Ifunda iliyopo Mkoani Iringa. 


Mgeni rasmi  Katika Maadhimisho hayo alikuwa ni Maneja wa TEHAMA kanda ya nyanda  za juu kusini ambae pia ni msimamizi wa mamlaka ya mawasiliano TCRA  Kanda Eng. Lilian Mwangoka.


Akizungumza mapema leo hii na wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana Ifunda iliyopo katika Halmashauri ya wilaya ya Iringa Mkoani  hapa,alisema kuwa,lengo la siku hii ni kuwahamasisha na kuchochea wasichana kuchagua masomo ya sayansi na kuelimisha juu ya matumizi sahihi ya TEHAMA.
Kauli mbiu ya mwaka huu inasema kuwa ;Ongeza wigo badili Mtazamo''


Eng. Lilian Mwangoka,akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana Ifunda katika maadhimisho ya siku ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano yaliyoadhimishwa kimataifa leo hii

Wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana Ifunda iliyopo katika Halmashauri ya wilaya ya Iringa wakishiriki maadhimisho ya suku ya wasichana na TEHAMA leo hii
Wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana Ifunda iliyopo katika Halmashauri ya wilaya ya Iringa wakishiriki maadhimisho ya suku ya wasichana na TEHAMA leo hii
Wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana Ifunda iliyopo katika Halmashauri ya wilaya ya Iringa wakishiriki maadhimisho ya suku ya wasichana na TEHAMA leo hii
Wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana Ifunda iliyopo katika Halmashauri ya wilaya ya Iringa wakishiriki maadhimisho ya suku ya wasichana na TEHAMA leo hii
Wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana Ifunda iliyopo katika Halmashauri ya wilaya ya Iringa wakishiriki maadhimisho ya suku ya wasichana na TEHAMA leo hii
Wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana Ifunda iliyopo katika Halmashauri ya wilaya ya Iringa wakishiriki maadhimisho ya suku ya wasichana na TEHAMA leo hii
Wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana Ifunda iliyopo katika Halmashauri ya wilaya ya Iringa wakishiriki maadhimisho ya suku ya wasichana na TEHAMA leo hii
Wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana Ifunda iliyopo katika Halmashauri ya wilaya ya Iringa wakishiriki maadhimisho ya suku ya wasichana na TEHAMA leo hii
Wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana Ifunda iliyopo katika Halmashauri ya wilaya ya Iringa wakishiriki maadhimisho ya suku ya wasichana na TEHAMA leo hii
Wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana Ifunda iliyopo katika Halmashauri ya wilaya ya Iringa wakishiriki maadhimisho ya suku ya wasichana na TEHAMA leo hii
Wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana Ifunda iliyopo katika Halmashauri ya wilaya ya Iringa wakishiriki maadhimisho ya suku ya wasichana na TEHAMA leo hii
Wanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana Ifunda iliyopo katika Halmashauri ya wilaya ya Iringa wakishiriki maadhimisho ya suku ya wasichana na TEHAMA leo hii
Eng Liliani Mwangoka akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi waliojibu vizuri maswali yanayohusu TEHAMA na kupewa zawadi  za Tisheti na kofia
Wanafunzi walioshinda kujibu Maswali wakiwa katika picha ya pamoja

Eng Liliani Mwangoka akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi waliojibu vizuri maswali yanayohusu TEHAMA na kupewa zawadi  za Tisheti na kofia

Eng Liliani Mwangoka akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi waliojibu vizuri maswali yanayohusu TEHAMA na kupewa zawadi  za Tisheti na kofia



Faraja Msigwa mwanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana Ifunda akizungumza na vyombo vya habari[Havipo pichani]mara baada ya maadhimisho hayo.









0 maoni:

Chapisha Maoni