Posted by Esta Malibiche on APRIL 11,2017 IN NEWS
![]() |
Mkurugenzi mkuu wa TANAPA Dkt Allan Kijazi akichangia mada kuhusu uhifadhi wa mto Ruaha mkuu |
![]() |
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan kulia akiteta jambo na mkuu wa mkoa wa Iringa Amina Masenza na waziri wa ardhi ,nyumba na maendeleo ya makazi leo |
![]() |
Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela akichangia mada juu ya uhifadhi wa mto Ruaha mkuu |
![]() |
washiriki wa mkutano huo wakitoa maoni yao |
![]() |
Mbunge wa Mary Mwanjelwa akichangia katika mkutano huo |
![]() |
Waziri wea Mazingira na muungano January Makamba akipokea maelekezo toka kwa makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan leo |
![]() |
Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mbeya Abas Kandoro akichangia jinsi ya kulinda mto Ruaha mkuu |
![]() |
Waziri wa Maliasili na utalii Dkt Jumanne Maghembe akifafanua jinsi ya kuungana kulinda maji kwa faida ya wananchi na wananya |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiPhJZF_9Oz7LwNKCZjADh7NQ6FG0kwnbUv9s0X-G4erM7zD_tMXFmXfbikD4FT6alwKQfMmrK87IuhwZWD5eFrim5QieTMvqc77K0i4XWBxiVV1dAeGU8ALtBU2D7U7A3w6M51U9xcFE-e/s640/IMG-20170411-WA0081.jpg)
0 maoni:
Chapisha Maoni