Kwa Habari za kitaifa na kimataifa

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za michezo na burudani

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za afya

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za Kilimo

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za uchumi na biashara

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za elimu

Tembelea Kali ya habari

Jumanne, 26 Juni 2018

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA UGENI KUTOKA LIWALE MKOANI LINDI

Posted by Esta Malibiche on JUNE 26,2018 IN NEWS Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akisalimiana na Mbunge wa Liwale Mhe. Zuberi kuchauka (kulia) na Ndg. Jivunie Mbunda (aliebebwa) ambae ni mlemavu wa kimo kutoka Liwale Mkoani Lindi walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akizungumza na Mbunge wa Liwale Mhe. Zuberi kuchauka (kulia) pamoja na wanandoa Ndg. Jivunie Mbunda...

DOKTA PHILIP MPANGO AHITIMISHA MJADALA WA BAJETI BUNGENI JIJINI DODOMA

Posted by Esta Malibiche on JUNE 26,2018 IN NEWS Baadhi ya wadau wakifuatilia kwa makini mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka 2018/19, kabla ya Waziri mtoa hoja Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) hajahitimisha hoja hiyo ya Bajeti, Bungeni, Dodoma. Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (kulia), naMwanasheria Mkuu wa Serikali, Dkt. Adelardus Kilangi, wakizungumza jambo kabla ya kuhitimishwa kwa hoja ya mjadala...

DK. KIGWANGALLA AFUNGUA WARSHA YA KITAIFA YA WADAU WANAOPINGA VITENDO VYA UHALIFU DHIDI WANYAMAPORI NA MISITU NCHINI

Posted by Esta Malibiche on JUNE 26,2018 IN NEWS Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla akifungua warsha ya siku moja ya wadau wa kitaifa wa kupinga vitendo vya uhalifu dhidi ya wanyamapori na misitu nchini jijini Dodoma leo Juni 26, 2018. Warsha hiyo imelenga kujadili na kuainisha mahitaji na vipaombele vya sekta ya mahakama na mashtaka ya kudhibiti uhalifu huo.    Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi...

WAZIRI MKUU AONGOZA MAADHIMISHO YA KITAIFA YA SIKU YA KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA MKOANI IRINGA

Posted by Esta Malibiche on JUNE 26,2018 IN KITAIFA. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia wananchi, kwenye Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupambana na Dawa za Kulevya Duniani, uwanja wa Kichangani Mkoani Iringa Juni 26, 2018. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiangalia tumbo la Juma Desail, kwenye Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Kupambana na Dawa za Kulevya Duniani, ambaye alipata tatizo la kupasukiwa na kete ya dawa za kulevya tumboni...

Jumamosi, 23 Juni 2018

NAIBU KATIBU MKUU CCM BARA RODRICK MPOGOLO AWATUNUKU VYETI VYA KUHITIMU WANACHAMA 281 KUTOKA UMOJA WA VIJANA CCM VYUO NA VYUO VIKUU MKOANI IRINGA LEO HII

Posted by Esta Malibiche on JUNE 23,2018 IN SIASA Mgeni Rasmi Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Ndg Rodrick Mpogolo akizungumza na Wahitimu Makada wa CCM Idara ya Vyuo na Vyuo Vikuu UVCCM katika Sherehe za Mahafali ya kuwaaga,yaliyofanyika leo katika ukumbi wa Siasa ni kilimo Mkoani Iringa. Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM Taifa Mwl Raymond Mwangwala akizungumza na wahitimu wa Mahafali ya Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa wa Iringa...