Posted by Esta Malibiche on JUNE 26,2018 IN NEWS
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akisalimiana na Mbunge wa Liwale Mhe. Zuberi kuchauka (kulia) na Ndg. Jivunie Mbunda (aliebebwa) ambae ni mlemavu wa kimo kutoka Liwale Mkoani Lindi walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akizungumza na Mbunge wa Liwale Mhe. Zuberi kuchauka (kulia) pamoja na wanandoa Ndg. Jivunie Mbunda...