
Posted by Esta Malibiche onAPRIL 28,2017 IN NEWS
Maonesho ya Wiki ya Usalama na Afya mahala pa kazi yanayofanyika Moshi mkoani Kilimanjaro.
Maonesho
haya yanayohusisha kampuni na Taasisi mbalimbali nchini yanaratibiwa na
Wakala wa Usalama na Afya mahala pa Kazi (OSHA).
Baadhi
ya Wafanyakazi wa Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu unaomilikiwa na
Kampuni ya ACACIA,wakiweka sawa moja ya picha inayoonesha eneo ambalo...