Kwa Habari za kitaifa na kimataifa

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za michezo na burudani

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za afya

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za Kilimo

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za uchumi na biashara

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za elimu

Tembelea Kali ya habari

Ijumaa, 28 Aprili 2017

MIGODI INAYOMILIKIWA NA KAMPUNI YA ACACIA YAWA KIVUTIO KATIKA MAONESHO YA WIKI YA USALAMA NA AFYA MAHALA PA KAZI

Posted by Esta Malibiche onAPRIL 28,2017 IN NEWS Maonesho ya Wiki ya Usalama na Afya mahala pa kazi yanayofanyika Moshi mkoani Kilimanjaro. Maonesho haya yanayohusisha kampuni na Taasisi mbalimbali nchini yanaratibiwa na Wakala wa Usalama na Afya mahala pa Kazi (OSHA). Baadhi ya Wafanyakazi wa Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu unaomilikiwa na Kampuni ya ACACIA,wakiweka sawa moja ya picha inayoonesha eneo ambalo...

SERIKALI YAPIGA MARUFUKU SHUGHULI ZA KIBINADAMU KATIKA VYANZO VYA MAJI IRINGA

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

ASILIMIA 60 YA MAJI YANAPOTELEA KWENYE MIFEREJI ISIYOSAKAFIWA

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Alhamisi, 27 Aprili 2017

DK MAGUFULI MGENI RASMI MEI MOSI

Posted by Esta Malibiche on APRIL 27,2017 IN NEWS RAIS John Magufuli anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) kitaifa, huku kilio kikubwa cha vyama vya wafanyakazi kikiwa kukosekana kwa mikataba ya hali bora kazini. Kwa mujibu wa takwimu za Shirikisho la Vyama Huru vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Taifa lilipaswa kuwa na waajiriwa milioni 3.7 katika sekta iliyo rasmi, lakini...

TEHAMA YAHAMASISHA WANAFUNZI WA KIKE KUSOMA MASOMO YA SAYANSI

Posted by Esta Malibiche on APRIL 27,2017 IN NEWS Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...