Jumatatu, 28 Mei 2018

MATUKIO KATIKA PICHA :MWENGE WA UHURU UKIZINDUA,KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA MJI WA MAFINGA

Posted by Esta Malibiche on MEI 28,2018

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Charles Kabeho akimtwika kichwani ndoo ya maji,Bi.Anna Kyando mara mkazi wa mtaa wa Tanganyika,mara baada ya kuzindua Tanki la Maji lenye ujazo wa lita  laki tano(5)lililojengwa kwa gharama ya  mill. 407.6      katika mtaa wa Tanganyika  kata ya Kinyanambo Halmashauri ya Mji wa Mafinga.  .PICHA NA ESTA MALIBICHE.
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Charles Kabeho akimtwika kichwani ndoo ya maji,BiGrace John  mkazi wa Mtaa wa Tanganyika mara baada ya kuzindua mradi huo.

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaiafa Charles Francis Kabeho akizindua mnara wa kumbukumbu ya wakimbiza Mwenge  kitaifa 2018 uliojengwa katika Shule ya Sekondari J  J  Mungai .





Club ya kupambana na shule katika Shule ya Sekondari JJ Mungai ikizinduliwa na Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Charles Kabeho.



Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaiafa Charles Francis Kabeho akiweka jiwe la Msingi katika vyumba vya madarasa ya Shule ya Sekondari Ihongole.

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaiafa Charles Francis Kabeho,akiweka jiwe la Msingi katika  mradi wa Kilimo bora cha maparachichi katika mtaa wa ndolezi  ,uliopo kijijji cha kiterewasi kata ya boma,lenye ukubwa wa  ekari 16.5 lilopandwa miche 1,031.

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaiafa Charles Francis Kabeho akizindua bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari Mwinyigumba.










































0 maoni:

Chapisha Maoni