Kwa Habari za kitaifa na kimataifa

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za michezo na burudani

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za afya

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za Kilimo

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za uchumi na biashara

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za elimu

Tembelea Kali ya habari

Alhamisi, 31 Mei 2018

DKT. KIJAJI AITAKA BENKI YA ABC KUPELEKA HUDUMA VIJIJINI KUCHOCHEA SEKTA YA KILIMO NA VIWANDA

Posted by Ssta Malibiche on MEI 31,2018 IN BIASHARA Baadhi ya waalikwa katika shughuli ya ufunguzi wa tawi jipya la  Benki ya ABC Jijini Dodoma lililofunguliwa na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji. Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Bilinith Mahenge, wakizungumza jambo kabla ya kufungua rasmi tawi la Benki ya ABC Jijini Dodoma. Kaimu...

Jumatano, 30 Mei 2018

SERIKALI YAAGIZA WAMACHINGA WATENGEWE MAENEO YA KUFANYIA BIASHARA

Posted by Esta Malibiche on MEI  31, 2018 IN NEWS     Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Seleman Jafo akiongea na wamachinga wakati  wa kufungua  Mkutano Mkuu wa Shirika la umoja wa wamachinga Tanzania- SHIUMA leo uliofanyika katika ukumbi wa shule ya Sekondari Dodoma, Jijini Dodoma.  Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Seleman Jafo...

Jumatatu, 28 Mei 2018

MWENGE WA UHURU WABARIKI KIWANDA CHA NEW FOREST

Posted by Esta Malibiche on MEI 25,018 IN NEWS Kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Charles Kabeho akiweka jiwe la Msingi katika kiwanda  cha kuandaa na kutengeneza nguzo, kinachomilikiwa na  kampuni ya New Forest, kitakachokuwa na uwezo wa kuzalisha nguzo 800 kwa mzunguko mmoja na 1,600 kwa mizunguko miwili kwa siku pindi kitakapokamilika mwezi ujao. KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa, Charles Kabeho mapema...

MATUKIO KATIKA PICHA :MWENGE WA UHURU UKIZINDUA,KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA MJI WA MAFINGA

Posted by Esta Malibiche on MEI 28,2018 Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Charles Kabeho akimtwika kichwani ndoo ya maji,Bi.Anna Kyando mara mkazi wa mtaa wa Tanganyika,mara baada ya kuzindua Tanki la Maji lenye ujazo wa lita  laki tano(5)lililojengwa kwa gharama ya  mill. 407.6      katika mtaa wa Tanganyika  kata ya Kinyanambo Halmashauri ya Mji wa Mafinga.  .PICHA NA ESTA MALIBICHE. Kiongozi...

Jumamosi, 26 Mei 2018

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO MKUU WA 28 WA CHAMA CHA WANASHERIA WANAWAKE TANZANIA

Posted by Esta Malibiche on MEI 26,2018 IN KITAIFA Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 28 wa Chama cha Wanasheria Wanawake TANZANIA(TAWLA) uliotanguliwa na mafunzo Endelevu ya Sheria uliofanyika katika hotel ya Serena jijini Dar es Salaam. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Naibu Waziri wa...

Ijumaa, 25 Mei 2018

JUMLA YA MIRADI 8 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA BILL.6 YAZINDULIWA NA MWENGE WA UHURU WILAYANI KILOLO

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...