Posted by Ssta Malibiche on MEI 31,2018 IN BIASHARA
Baadhi ya waalikwa katika shughuli ya ufunguzi wa tawi jipya la Benki ya ABC Jijini Dodoma lililofunguliwa na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji.
Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Bilinith Mahenge, wakizungumza jambo kabla ya kufungua rasmi tawi la Benki ya ABC Jijini Dodoma.
Kaimu...