Jumanne, 10 Julai 2018

DR.MWIGULU NCHEMBA AKABIDHI RASMI OFISI LEO HII

Posted by Esta Malibiche on july 10,2018 NEWS

PIX 1
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kushoto) akipokea taarifa ya makabidhiano kutoka kwa aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo, Dkt Mwigulu Nchemba kwenye ofisi ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, jijini Dodoma leo. Hata hivyo, Waziri Lugola alisema aliwahi kua mwanariadha, hivyo atahakikisha anasonga mbele kuendelea na safari, hata angalia nyuma.

PIX 2

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kulia) akipongeza na aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo, Dkt Mwigulu Nchemba mara baada ya kupokea taarifa ya makabidhiano kwenye ofisi ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, jijini Dodoma leo. Hata hivyo, Waziri Lugola alisema aliwahi kua mwanariadha, hivyo atahakikisha anasonga mbele kuendelea na safari, hata angalia nyuma.

PIX 3

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kushoto) akimsikiliza Katibu wa Waziri Nelson Kaminyoge, alipokua anataka kumkabidhi taarifa aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo, Dkt Mwigulu Nchemba ilia aweze kukabidhiwa taarifa hizo. Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisi ya Waziri huyo, jijini Dodoma leo. Hata hivyo, Waziri Lugola alisema aliwahi kua mwanariadha, hivyo atahakikisha anasonga mbele kuendelea na safari, hata angalia nyuma.

PIX 4

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kulia) akimuaga aliyekua Waziri wa Wizara hiyo, Dkt Mwigulu Nchemba, mara baada ya kukabidhiwa taarifa kwenye ofisi ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, jijini Dodoma leo. Hata hivyo, Waziri Lugola alisema aliwahi kua mwanariadha kipindi cha nyuma, hivyo atahakikisha anasonga mbele kuendelea na safari, hata angalia nyuma. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.  

0 maoni:

Chapisha Maoni