Jumanne, 10 Julai 2018

NAIBU WAZIRI WA NISHATI, SUBIRA MGALU AZINDUA MRADI WA UMEME VIJIJINI REAIII WILAYANI KILOSA, VIJIJI 180 MKOANI MOROGORO KUNUFAIKA

Posted by Esta Malibiche on July 10,2018 IN NEWS

 Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Subira Mgalu, na viongozi wengine wa Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mradi wa usambazaji umeme vijijini REA Awamu ya Tatu (REAIII), kwenye kijiji cha Mandera Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro Julai 9, 2018. Mhe. Naibu Waziri pia alitumia fursa hiyo kusikilzia kero za wnanchi kuhusu upatikanaji umeme kwenye vijiji vyao.




 Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Subira Mgalu akizungumza na wananchi wa kijiji cha Mafulu kata ya Kitete wilaya ya Kilosa wakati wa ziara yake kusikiliza kero nakuzipatia ufumbuzi kuhusiana na mradi wa umeme vijijini (REA) REA Awamu ya Tatu(REAIII) mzunguko wa tatu mkoa wa Morogoro.
 Wananchi wakimsikilzia Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Subira Mgalu, wakayti akihutubia
 Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Subira Mgalu akizungumza na wananchi wakijiji cha Mafulu kata ya Kitete wilaya ya Kilosa
 Diwaniwa kata ya Kimamba A, Upendo Mpoto akizungumza jambo mbele ya Naibu waziri waNishati, Mhe. Subira Mgalu wakati akisikiliza kero zinazohusiana na mradi waumeme vijijijini.
Diwani wa Kata ya Kimamba akizungumza kwenye mkutano huo.
  NaibuWaziri wa Nishati, Mhe. Subira Mgalu (Mwenye Kilemba chekundu kichwani)akimsikiliza Diwani wa kata ya Kitete wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro, Bw. StephenLukobe wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika kijiji cha Maful. Wakwanza
kushoto ni Mwenyekiti wa kijiji hicho, Mussa Maganga.
NaibuWaziri wa Nishati, Mhe. Subira Mgalu kulia akizungumza jambo na Diwani wa kataya Kitete wilaya ya Kilosa, Stephen Lukobe katika ofisi ya kijiji cha Maduduwakati wa ziara ya naibu waziri huyo ya kutembelea vijiji vitavyonufaika namradi wa umeme wa REA Awamu ya tatu (REAIII), mzunguko wa tatu mkoa wa MorogoroJulai 9, 2018
Makzi wa kijiji cha Mandera, Wilayani Kilosa, akizungumza mbele ya Naibu Waziri
NA
K-VIS BLOG, MOROGORO


NAIBU
Waziri wa Nishati, Mhe. Subira Mgalu, amezindua mradi wa usambazaji umemevijini REA awamu ya tatu (REAIII), ambapo jumla ya vijiji 180 vya Mkoa waMorogoro vitanufaika.

NaibuWaziri alifanya uzinduzi huo kwenye kijiji cha Mandera Wilayani Kilosa Mkoanihumo Jumatatu Julai 9, 2018 kwa kukata utepe na kuwasha swichi ya umeme na hivyo kuibua shangwe, nderemo na vifijo kutokakwa wananchi waliojawa na furaha.
Akizungumzabaada ya uzinduzi huo Mhe. Naibu Waziri Subira Mgalu, alisema, Serikali yaAwamu ya Tano chini ya uongozi wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaDkt. John Pombe Magufuli inayo dhamira ya kweli ya kuhakikisha ahadi zote
ilizotoa kuhusu upatikanaji wa umeme wa uhakika kwa wananchi wote wa Tanzania mijinina vijijini inatekelezwa kwa kasi.
“Tayari umeme umefika sasa utumieni kikamilifu kujiletea maendeleo yenu na taifa kwa ujumla.” Alisema Mhe. Naibu
Waziri.
 
Gharama za kuunganishiwa umeme huo ninafuu sana kiasi cha shilinbgi Elfu Ishoirini na Saba tu (27,000) 

0 maoni:

Chapisha Maoni