Jumanne, 10 Julai 2018

MWENYEKITI WA CCM RAIS DK. MAGUFULI AENDESHA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM, OFISI NDOGO ZA MAKAO MAKUU YA CCM, LUMUMBA JIINI DAR ESALAAM, LEO

Posted by Esta Malibiche on july 10,2018 IN SIASA

 Mwenyekiti wa CCM Rais Dk. John Magufuli akilakiwa na wajumbe alipowasili ukumbini kuogoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jinini Dar es Salaam, leo.

 Mwenyekiti wa CCM Rais Dk. John Magufuli akilakiwa na wajumbe alipowasili ukumbini kuogoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jinini Dar es Salaam, leo.

 Wajumbe wakimsikiliza Mwenyekiti wa CCM Rais Dk. John Magufuli katika kikao cha Kamati Kuu ya CCM, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jinini Dar es Salaam, leo.

Mwenyekiti wa CCM Rais Dk. John Magufuli akiogoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jinini Dar es Salaam, leo.

0 maoni:

Chapisha Maoni