
Posted by Esta Malibiche on Julai 25,2018
Mkuu wa wilaya ya mufindi Jamhuri Wiliam akizindua
rasmi kampeni ya 'FURAHA YANGU' pima,jitambue,ishi Mkoani Iringa.Uzinduzi huo ulifanyika jana katika viwanja vya Mwembetogwa Manispaa ya Iringa ikiwa na lengo la kuhamasisha
wannachi hususani wanaume kupima vvu.picha na Esta Malibiche.
WANAUME mkoani Iringa wametakiwa kujitokeza kwa wingi kupima ili kujua Afya zao na kuanza dawa
mapema ...