Kwa Habari za kitaifa na kimataifa

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za michezo na burudani

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za afya

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za Kilimo

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za uchumi na biashara

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za elimu

Tembelea Kali ya habari

Jumamosi, 30 Septemba 2017

WANYAMA HAI WAWA KIVUTIO KIKUBWA MAONESHO YA UTALII KARIBU KUSINI 2017

Posted by Esta Malibiche on Sept.30,2017 IN NEWS Umati wa wananchi wakimiminika kuelekea katika mabanda ya wanyama hai,amabao ni Simba,Chui,Fisi na Kobe.ambao wameoneka ni kivutio kikubwa katika maonesho ya utalii Karibu kusini 2017. Mnyama hai Simba akiwa kwenye banda lake maalum katika maonesho ya utalii Karibu kusini yaliyozinduliwa jana,yanayoendelea katika Viwanja vya Kichangani Kihesa Manispaa ya Iringa. Mnyama hai Fisi akiwa...

SEKTA BINAFSI ZAONGEZA NGUVU KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA SINGIDA.

Posted by Esta Malibiche on Sept.30,2017  IN NEWS Mwakilishi wa Kaimu Katibu Tawala Mkoa, Cosmas Sikali akizungumza na wadau wa sekta binafsi zinazotoa huduma katika Mkoa wa Singida. . Mratibu wa Ukimwi Mkoa wa Singida Dkt Mohamed Mbalazi akitoa mada katika mkutano ulijadili uboreshaji wa ushirikiano baina ya serikali na wadau wa sekta binafsi zinazotoa huduma ya Afya Mkoani Singida  Afisa Lishe Mkoa wa Singia Teda Sinde akifafanua...

Ijumaa, 29 Septemba 2017

MATUKIO KATIKA PICHA WAZIRI MAGEMBE AZINDUA MAONESHO YA UTALII KARIBU KUSINI APONGEZA MAANDALiZI

Posted by Esta Malibiche on Sept.29,2017 IN NEWS  waziri wa Maliasili na utalii Prof.Jumanne Maghembe akikata utepe katika banda la jeshi limamoto wakati wa uzinduzi wa maonesho ya utalii 'KARIBU KUSINI' uliofanyika leo katika viwanja vya kichangani Manispaa ya Iringa.Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa Amina Masenza. Kauli mbiu ya mwaka huu inasema,"UTALII ENDELEVU NI NGUZO YA UCHUMI WA VIWANDA"  Waziri wa Maliasili na Utalii...