
Posted by Esta Malibiche on Sept.30,2017 IN NEWS
Umati wa wananchi wakimiminika kuelekea katika mabanda ya wanyama hai,amabao ni Simba,Chui,Fisi na Kobe.ambao wameoneka ni kivutio kikubwa katika maonesho ya utalii Karibu kusini 2017.
Mnyama hai Simba akiwa kwenye banda lake maalum katika maonesho ya utalii Karibu kusini yaliyozinduliwa jana,yanayoendelea katika Viwanja vya Kichangani Kihesa Manispaa ya Iringa.
Mnyama hai Fisi akiwa...