Kwa Habari za kitaifa na kimataifa

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za michezo na burudani

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za afya

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za Kilimo

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za uchumi na biashara

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za elimu

Tembelea Kali ya habari

Jumatano, 31 Mei 2017

RAIS MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KIFO CHA PHILEMON NDESAMBURO

Posted by Esta Malibiche on MEI 31,2017  IN NEWS...

MWIGULU NCHEMBA MGENI RASMI UZINDUZI WA NYIMBO ZA INJILI MAFINGA MKOANI IRINGA

Posted by Esta Malibiche on MEI 31,2017 ...

CAG AITUNUKU HATI SAFI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

Posted by Esta Malibiche on MEI 31 in NEWS f Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa Profesa Riziki Shemdoe Picha kutoka maktaba ya Kitengo cha habari. Na Afisa Habari Mufindi Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serilkali nchini CAG ameitunuku hati safi ya hesabu na matumizi sahihi ya Fedha za Umma Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi, baada ya kufanya ukaguzi na kujiridhisha na matumizi yaliyozingatia taratibu, Sheria...

Alhamisi, 18 Mei 2017

IKUNGI WAANZISHA MFUKO WA ELIMU ILI KUONDOA CHANGAMOTO KATIKA SEKTA HIYO.

Posted by Esta Malibiche on MEI 18,2017 IN NEWS Mkuu wa Wilaya Ikungi Miraji Mtaturu katikati akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa kamati ya mfuko wa elimu wilaya ns viongozi wa halmashauri baada ya kumaliza kikao nao.  Mjumbe mwakilishi wa madhehebu ya dini sheikh Salum Ngaa akichangia hoja wakati wa kikao kilichoongozwa na mkuu wa wilaya ya Ikungi Miraji Mtaturu pichani wakiwa na wajumbe wa kamati ya mfuko wa...

MABASI YANAYOBEBA WANAFUNZI MKOANI SINGIDA YAKAGULIWA.

Posted by Esta Malibiche on MEI 18,2017 IN NEWS Askari wa usalama barabarani mkoani Singida, E.8763. Sgt. Benes Lucas akikagua mabasi yanayotumika kusafirisha wanafunzi mjini hapa jana. Baadhi ya mabasi kati ya 20 yanayotumika kusafirisha wanafunzi Mkoani Singida yakifanyiwa ugazi na askari usalama barabarani kwa lengo la kujiridhisha ubora wake. RTO Mkoa wa Singida Mrakibu wa polisi Peter Raphael Majira akitoa taarifa ya zoezi...

MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA 28, MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO MAY 18, 2017.

Posted by Esta Malibiche on MEI 18,2017 IN NEWS Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano Mhe.January Makamba akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika  kikao cha Ishirini na nane cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 18, 2017.  Naibu Spika  wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dk.Tulia Ackson  akiongoza    kikao cha Ishirini na nane cha Mkutano wa...

JAMALI JUMA AWATAKA VIONGOZI WA VIJIJI KUFUATA SHERIA ZA KIJIJI KUWAONGOZA WANANCHI

Posted by Esta Malibiche on MEI 18,2017 IN NEWS Kushoto ni Jamali Juma afisa mradi wa timu ya wanasheria watetezi wa haki za Mazingira kwa vitendo (LEAT) akifuatiwa na Afisa habari wa LEAT Edina Tibaijuka pamoja na Mwenyekiti wa kijiji cha kibada Philipo Nyavili wakati wa mkutamo wa hadhara wa kijiji cha kibada ukiwa na lengo la kutoa elimu kwa wananchi wa kijiji cha kibada  Hawa ni baadhi ya wananchi waliojitokeza kwenye mkutano...

WAZEE SIMBA WAMKATAA MOHAMED DEWJI ‘MO’ WAMUANDIKIA BARUA RAIS MAGUFULI

Posted by Esta Malibiche on MEI 18,2017 IN MICHEZO, Wazee wa klabu ya Simba kupitia kikao cha hii leo kwa pamoja wameazimia kwenda kumuona Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli ili kumueleza kilio chao baada ya kugundua kuwa kuna shinikizo kutoka kwa baadhi ya viongozi waandamizi wa serikali wakihitaji klabu hiyo auziwe Mohamed Dewji. Akiongea mbele ya waandishi wa Habari...

NAIBU MKURUGENZI WA IMF AKUNWA NA UKUAJI WA UCHUMI WA TANZANIA, AAHIDI KUFUNGUA DIRISHA LA MIKOPO KWA TANZANIA

Posted Esta Malibiche on MEI 18,2017 IN NEWS Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), (wa tatu kulia) akielezea mpango wa Serikali wa kuboresha kilimo ili kukuza uchumi wa viwanda alipofanya Mkutano na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), Tao Zhang (wa tatu kushoto), katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango jijini Dar es salaam. Waziri wa Fedha na...

Jumatano, 17 Mei 2017

SERIKALI YAIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOLO MKOANI IRINGA

Posted by Esta Malibiche on MEI 17,2017 IN NEWS Naibu waziri wa Tamisemi Seleman Jaffo akisalimiana na wakuu wa Idara mara baada ya kuwasili katika ofisi za Halmashauri ya wilaya ya kilolo mkoani Iringa ,ikiwa ni moja ya ziara yake aliyoifanya jana   Naibu waziri wa Tamisemi Seleman Jaffo akielekea kukagua ujenzi unaoendelea katika jengo la Hospitali ya wilaya ya kilolo Mkoani Iringa,katika moja ya ziara yake aliyoifanya jana.PICHA...