Jumamosi, 4 Januari 2025

...

Jumanne, 28 Agosti 2018

WANANCHI WA VIJIJI VYA IRAMBA KUNUFAIKA NA UMEME WA REA

Posted by Eata Malibiche on Auget   28,2018 IN NEWS. MENEJA wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Kanda ya Kati, Mhandisi Athanasio Nangali amesema watahakikisha vijiji vyote vya Wilaya ya Iramba ambavyo havijapata umeme wa REA mzunguko wa tatu kwa awamu ya kwanza, na awamu ya pili, vinapatiwa umeme huo. Akizungumza jana katika Kata ya Ndurungu wilayani Iramba mkoani Singida, Eng Nangali alisema watahakikisha kuwa ifikapo mwaka 2021 umeme unaenea katika mkoa wote wa Singida kwa takribani vijiji 150 vilivyoko kwenye mpngo Alisema kuwa...

Jumatano, 25 Julai 2018

WANAUME MKOANI IRINGA WATAKIWA KUJITOKEZA KUPIMA VVU

Posted by Esta Malibiche on Julai 25,2018 Mkuu wa wilaya ya mufindi Jamhuri Wiliam akizindua rasmi kampeni ya 'FURAHA YANGU' pima,jitambue,ishi Mkoani Iringa.Uzinduzi huo ulifanyika jana katika viwanja vya Mwembetogwa Manispaa ya Iringa ikiwa na  lengo la kuhamasisha wannachi hususani wanaume kupima vvu.picha na Esta Malibiche. WANAUME  mkoani Iringa wametakiwa kujitokeza kwa wingi  kupima ili kujua Afya zao na kuanza dawa mapema ...

WAZIRI JAFO ATEMBELEA UJENZI WA MIRADI MBALIMBALI WILAYANI BAHI, DODOMA

Posted by Esta Malibiche on Julai 25,2018 IN NEWS Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemani Jafo akifanya uhakiki wa vipimo vya upana wa Daraja la Chipanga kama vinaendana na. Daraja la Chipanga lililo katika hatua za mwisho za umaliziaji wilayani Bahi. Viongozi wakikagua maabara iliyoanza kutoa huduma baada ya kumaliza kwa ujenzi katika kituo cha afya Bahi. Zoezi la...

SERIKALI YAAGIZA UANZISHWAJI WA MABARAZA YA WAZEE NCHINI.

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

ZIARA YA MAKAMU WA RAIS MKOANI SONGWE-ILEJE

Posted by Esta Malibiche on JULY 25,2018 IN KITAIFA  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa kijiji cha Katengele mara baada ya kuzindua shamba la misitu la Serikali la Iyondo-Mswima wilayani Ileje ikiwa siku ya nne ya ziara yake ya kuhamasisha shughuli za kimaendeleo mkano Songwe. (Picha na Makamu wa Rais)  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe....

Jumanne, 10 Julai 2018

BANK YA CRDB YAMKABIDHI MIFUKO 724 YA SARUJI MBUNGE WA JIMBO LA DODOMA MJINI ANTHONY MAVUNDE

Posted by Esta Malibiche on July 10,2018 IN NEWS  Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh Anthony Mavunde leo amepokea mifuko ya Saruji 724 yenye thamani ya Tsh 10,000,000 kutoka Benki ya CRDB kwa ajili ya ujenzi wa Madarasa,Nyumba za Walimu na matundu ya vyoo katika shule za Msingi na Sekondari katika Jimbo la Dodoma Mjini. Akikabidhi mifuko hiyo ya Saruji,Mkurugenzi CRDB Tawi la Dodoma Bi Rehema Hamis amesema kwamba Benki ya CRDB inaunga mkono...