Kwa Habari za kitaifa na kimataifa

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za michezo na burudani

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za afya

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za Kilimo

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za uchumi na biashara

Tembelea Kali ya habari

Kwa habari za elimu

Tembelea Kali ya habari

Jumatatu, 5 Juni 2017

WAZIRI MWIGULU AKUSANYA KIASI CHA MILL.24 TAMASHA LA UZINDUZI WA NYIMBO ZA INJILI MAFINGA IRINGA

Posted by Esta Malibiche on JUNE5,2017 IN NEWS
Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi Mwigulu Nchemba akizungumza na wananchi wa wilaya ya Mufindi katika uzinduzi wa nyimbo za Injili  za kwaya ya Mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga,uliofanyika jana katika viwanja vya parokia ya Mafinga Jimbo katoliki la Iringa.Katika uzinduzi huo jumla ya kiasi cha Tsh.24 Mill.zilikusanywa.PICHA NA ESTA MALIBICHE.
Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi Mwigulu Nchemba akizungumza na wananchi wa wilaya ya Mufindi mkoani Iringa,katika uzinduzi wa nyimbo za Injili  za kwaya ya Mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga,uliofanyika jana katika viwanja vya parokia ya Mafinga Jimbo katoliki la Iringa.PICHA NA ESTA MALIBICHE.
Mbunge wa viti maalum [ccm] Rose Tweve akizungumza na wananchi wa wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, katika uzinduzi wa nyimbo za Injili  za kwaya ya Mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga,uliofanyika jana katika viwanja vya parokia ya Mafinga Jimbo katoliki la Iringa.PICHA NA ESTA MALIBICHE.
Mbunge wa viti maalum [ccm] Rose Tweve akizungumza na wananchi wa wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, katika uzinduzi wa nyimbo za Injili  za kwaya ya Mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga,uliofanyika jana katika viwanja vya parokia ya Mafinga Jimbo katoliki la Iringa.PICHA NA ESTA MALIBICHE.
Mkuu wa wilaya ya Mufindi Jamuhuri Willium akizungumza na wananchi wa wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, katika uzinduzi wa nyimbo za Injili  za kwaya ya Mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga,uliofanyika jana katika viwanja vya parokia ya Mafinga Jimbo katoliki la Iringa.PICHA NA ESTA MALIBICHE.
Marcelina Mwosha Mnec ccm Taifa akizungumza na wananchi wa wilaya ya Mufindi katika uzinduzi wa Album ya kwaya ya Mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga.

Pius Kalimsenga akisoma Risala ya kwaya kuu ya Mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga kwa Mgeni Rasmi.

Pius Kalimsenga akisoma Risala ya kwaya kuu ya Mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga kwa Mgeni Rasmi.
Mwenyekiti wa Kwaya Kuu ya Mtakatifu Cesilia Parokia yaKihesa  Jimbo katoliki la Iringa,akizungumza na katika uzinduzi wa kwaya Rafiki ya Mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga.,Katikati ni Mhasibu wa kwaya ya Mtakatifu Cesilia  na anaefuatia ni Katibu wa kwaya ya Mtakatifu Cesilia Kihesa[KWA BABA YAO]




Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mwigulu Nchemba akisalimiana na viongozi pamoja na wanakwaya wa kwaya walioshiriki katika uzinduzi huo.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mwigulu Nchemba akisalimiana na viongozi pamoja na wanakwaya wa kwaya walioshiriki katika uzinduzi huo.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mwigulu Nchemba akisalimiana na viongozi pamoja na wanakwaya wa kwaya walioshiriki katika uzinduzi huo.



Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mwigulu Nchemba akisalimiana na viongozi pamoja na wanakwaya wa kwaya walioshiriki katika uzinduzi huo.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mwigulu Nchemba akisalimiana na viongozi pamoja na wanakwaya wa kwaya walioshiriki katika uzinduzi huo.
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mwigulu Nchemba akisalimiana na viongozi pamoja na wanakwaya wa kwaya walioshiriki katika uzinduzi huo.
  Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mwigulu Nchemba akisalimiana na viongozi pamoja na wanakwaya wa kwaya walioshiriki katika uzinduzi huo.
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mwigulu Nchemba akisalimiana na viongozi pamoja na wanakwaya wa kwaya walioshiriki katika uzinduzi huo.

Kwaya kuu ya Mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga [Wenyeji]wakitumbuiza katika uzinduzi wa Album yao ya tatu iitwayo ''MBONA WACHELEWA''YESU HUYO
Kwaya ya Bikira Maria Mpalizwa Mbinguni Parokia ya Mafinga wakitumbuiza katika uzinduzi wa dvd ya nyimbo za Injili ya kawaya ya Mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga jimbo la Iringa.
Kwaya ya Bikira Maria Mpalizwa Mbinguni Parokia ya Mafinga wakitumbuiza katika uzinduzi wa dvd ya nyimbo za Injili ya kawaya ya Mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga jimbo la Iringa.
Kwaya ya Bikira Maria Mpalizwa Mbinguni Parokia ya Mafinga wakitumbuiza katika uzinduzi wa dvd ya nyimbo za Injili ya kawaya ya Mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga jimbo la Iringa.
Kwaya ya Mwenye heri. Maria Theresa Ledochowska toka Parokia ya Kiwanja cha ndege Jimbo katoliki la  Dodoma,wakitumbuiza kwenye uzinduzi wa kwaya Rafiki ya mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga
Kwaya ya Mwenye heri. Maria Theresa Ledochowska toka Parokia ya Kiwanja cha ndege Jimbo katoliki la  Dodoma,wakitumbuiza kwenye uzinduzi wa kwaya Rafiki ya mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga
 Kwaya ya Mwenye heri. Maria Theresa Ledochowska toka Parokia ya Kiwanja cha ndege Jimbo katoliki la  Dodoma,wakitumbuiza kwenye uzinduzi wa kwaya Rafiki ya mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga

Kamati ya Uzinduzi ikiwa inafuatilia kwa makini Hotuba ya Mgeni Rsmi.
Wanakwaya wa kwaya kuu ya Mtakatifu Cesilia Parokia ya Kihesa jimboni Iringa wakiwa katika uzinduzi wa Album ya kwaya ya Mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga Jimbo Katoliki la Iringa.
Wanakwaya wa kwaya kuu ya Mtakatifu Cesilia Parokia ya Kihesa jimboni Iringa wakiwa katika uzinduzi wa Album ya kwaya ya Mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga Jimbo Katoliki la Iringa.
Wanakwaya wa kwaya kuu ya Mtakatifu Cesilia Parokia ya Kihesa jimboni Iringa wakiwa katika uzinduzi wa Album ya kwaya ya Mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga Jimbo Katoliki la Iringa.
Wanakwaya wa kwaya kuu ya Mtakatifu Cesilia Parokia ya Kihesa jimboni Iringa wakiwa katika uzinduzi wa Album ya kwaya ya Mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga Jimbo Katoliki la Iringa.
Wanakwaya wa kwaya ya Mwenyeheri Maria Theresa  Ledochowska kutoka Parokia ya Kiwanja cha Ndege  jimbo katoliki la Dodoma,wakiwa katika uzinduzi wa Album ya kwaya ya Mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga Jimbo Katoliki la Iringa.
Waumini na wadau wa kwaya ya mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga wakiwa karika uzinduzi.
Waumini na wadau wa kwaya ya mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga wakiwa karika uzinduzi.
Waumini na wadau wa kwaya ya mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga wakiwa karika uzinduzi.
Waumini na wadau wa kwaya ya mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga wakiwa karika uzinduzi.
Waumini na wadau wa kwaya ya mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga wakiwa karika uzinduzi.
Waumini na wadau wa kwaya ya mtakatifu Cesilia Parokia ya Mafinga wakiwa karika uzinduzi.


Vijana Wampongeza Rais Magufuli kwa Ulinzi wa Rasilimali.

Posted by Esta Malibiche on JUNE5,2017 IN NEWS
19044034_303
Na Jonas Kamaleki -MAELEZO
Vijana Wazalendo wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kwa hatua alizozichukua kuwapinga wanyonyaji wa uchumi na rasilimali za nchi kupitia sekta ya Nishati na Madini.
Pongezi hizo zimetolewa leo jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wazalendo Tanzania, Bwana Mwita Nyarukururu alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.
Bwana Mwita amesema ana hakika kuwa Watanzania wanafuatilia juhudi za Mhe. Rais Magufuli katika sekta ya Nishati na Madini kwa kuunda Tume ya wataalam mbalimbali kufanya uchunguzi na upembuzi yakinifu katika madini.
“Wote tumeshuhudia ripoti ya wataalam wa madini chini ya Mwenyekiti, Prof. Abdulkadir Mruma ambapo Tume imeeleza masikitiko yake makubwa dhidi ya makampuni ya madini nchini yanavyokwapua na kusafirisha raslimali zetu bila Taifa kunufaika”, alisema Mwita
Aidha, Mwita amesema kuwa unyonyaji na uhujumu uchumi katika sekta ya madini umekuwa ukipigiwa kelele kwa takriban miaka 17 na wazee pamoja na wananchi kwa ujumla juu ya tahadhari yao kwa Taifa kuwekeza katika uzalishaji wa madini kutokana na mikataba kuwa ya siri na mibovu isiyonufaisha wananchi.
Aidha wamemwomba Mhe. Rais kuvunja mikataba ambayo haina maslahi kwa taifa bila kujali udogo au ukubwa wa kampuni hizo, ikiwa ni pamoja na kupeleka Bungeni mikataba na sheria zote zinazohusu nishati na madini kwa lengo la kujadiliwa upya kwa maslahi mapana ya Taifa .
Kwa upande wake, mjumbe wa Jukwaa la Wazalendo, Bi. Rose Manumba amesema inashangaza kuona huduma za kijamii kama sekta ya Afya, Elimu na Miundombinu zinazorota kwa kukosa fedha wakati matrililioni ya fedha yanachukuliwa na wajanja wachache.
Amemuomba Mhe. Rais na wananchi kwa ujumla wasichoke katika mapambano haya ya kukomesha wizi wa raslimali za Watanzania walizopewa na Mungu.
“Kwa kweli tumuunge mkono Mheshimiwa Rais katika vita hii ili nchi yetu na raslimali zake ziwe na manufaa kwa kizazi chetu na vizazi vijavyo”, alisema Manumba.
Mwezi uliopita Mhe. Rais alipokea Ripoti ya uchunguzi wa Makinikila ambayo ilionyesha kuwa tani za dhahabu na madini mengine yenye thamani kubwa yalipatikana kwenye mchanga uliokuwa usafirishwe nje ya nchi. Katika ripoti hiyo jumla ya takriban tani 15 za madini zilikutwa kwenye makontena 277 ya makinikila yayozuiliwa kusafirishwa nje na Mhe. Rais Magufuli, thamani yake inakadiriwa kuwa ni shilingi za Kitanzania trililioni 1.3.
Kufuatia ripoti hiyo, uteuzi wa Waziri mwenye dhamna ya Nishati na Madini, Prof. Sospiter Muhongo ulitenguliwa na Mhe. Rais, na aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Madini Nchini, alisimamishwa kazi.
Juhudi hizi za Mhe. Rais katika kupambana na ufisadi nchini zimeungwa mkono na watanzania wengi wakiwemo viongozi wa dini.

MHE.SULUHU AHUDHURIA KONGAMANO LA MAZINGIRA

Posted by Esta Malibiche on JUNE5,2017 IN NEWS

unnamed
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati wa kufunga Kongamano la Kitaifa la Mazingira lililofanyika kwenye ukumbi wa kanisa Katoliki, Mwitongo Butiama.
1
Mama Maria Nyerere akichangia maoni yake wakati wa kufunga Kongamano la Taifa la Mazingira lililofanyika Mwitongo Butiama kwenye kilele cha Siku ya Mazingira Duniani ambayo kitaifa imeadhimishwa Butiama mkoani Mara. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

Ijumaa, 2 Juni 2017

SILA JOHN MWAGU AWAOMBA WATANZANIA WAJITOKEZE KUNUSURU UHAI WAKE

 Posted by Esta Malibiche on JUNE2,2017  in KIJAMI


Huyu kijana anaitwa Sila john Mwagu. Anaishi eneo la Mwembetogwa Manispaa ya  Iringa,anasumbuliwa na Fungus ya Ulimi.Mwezi wa pili mwaka huu alipelekwa Hospital ya Rufaa Iringa kwa ajili ya matibabu,baadae alipewa rufaa kwenda  Muhimbiri kkwa ajili ya matibabu zaiadi.Kutokana na familia kutokuwa na pesa toka mwezi wa pili hadi leo hii Sila bado yupo nyumbani na hali yake inaendelea kuwa mbaya kama mnavyomuona. Zaidi ya Mill.2 zinahitajika ili aweze kutibiwa.Kama mnavyomuona kwenye picha yupo nyumbani kwao Mwembetogwa hapa Mnispaa ya Iringa.Mimi kama Mwandishi wa Habari na mmiliki wa mtandao huu wa Habari nikiwa sehemu ya jamii,nilipopata taarifa nilimtembelea nyumbani kwao kumjulia hali na kunzungumza na Mzazi wake.anahitaji msaada wako mtanzania ili Sila aweze kwenda kutibiwa na hatimae kuokoa uhai wake kabla wadudu hawajaanza kusambaa mwilini..Kwa chochote utakachoguswa mtumie mama yake Mzazi kwa namba 0768825554.